work from home opportunities, mom work at home, home from work, looking for work from home, get paid, i want to work from home 
FUNDI MCHUNDO DARAJA II (USEREMALA-CARPENTRY AND JOINERY) - 2 POST Employer: SHIRIKA LA MZINGA
Date Published: 2017-09-13
Application Deadline: 2017-09-26
JOB SUMMARY:
N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES:
i.    Kuchambua na kushauri juu ya matumizi ya aina mbalimbali ya mbao;
ii.    Kutengeneza samanina mazao yatokanayo na mbao;
iii.    Kufanya ukarabati mbalimbali wa samani na kazi zinahusu mbao;
iv.    Kukagua na kutoa taarifa ya maeneo yanayohitaji matengenezo;
v.     Kushirikiana na wafanyakazi wengine katika kutimiza malengo ya Shirika;
vi.    Kufanya kazi nyingine kama utakavyolekezwa na kiongozi wako.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE:
Elimu ya kidato cha nne na Cheti cha  Ufundi Stadi (Trade Test Grade III/CBET I) yenye mwelekeo wa Useremala –‘Carpentry and Joinery’  kutoka VETA au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.
REMUNERATION: Salary Scale PGSS 2


    Log in to Apply       More Jobs  

 



 
Top