work from home opportunities, mom work at home, home from work, looking for work from home, get paid, i want to work from home 
MVUVI MSAIDIZI DARAJA LA II (FISHERIES ASSISTANT II).. - 2 POST Employer: MDAs & LGAs
Date Published: 2017-08-24
Application Deadline: 2017-09-08
JOB SUMMARY:
N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES:
i.    Kutengeneza, Kushona, Kutunza na Kukarabati zana za uvuvi;
ii.    Kutunza na kuangalia mabwawa ya samaki;
iii.    Kutega mitego Ziwani au Baharini;
iv.    Kutengeneza nyavu ndogo ndogo;
v.    Kuwapa chakula samaki katika mabwawa;
vi.    Kuvua samaki katika mabwawa;
vii.    Kutoa ushauri kwa wavuvi kuhusu mbinu mbalimbali za uvuvi;
viii.    Kukusanya takwimu za uvuvi kutoka kwenye vituo vya kupokelea samaki;
ix.    Kutoa ushauri juu ya uhifadhi wa samaki na mbinu za usambazaji na uuzaji wa mazao yatokanayo na samaki;
x.    Kuwaelimisha wananchi juu ya ufugaji wa samaki na mambo muhimu ya kuzingatia.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE:
•    Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne au cha sita wenye stashahada (Diploma) ya Uvuvi au Uhifadhi wa Samaki na Masoko (Fish Processing & Marketing) kutoka vyuo vya uvuvi vya Mbegani, Kunduchi au vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.
REMUNERATION: Salary Scale TGS.C 
 
    Log in to Apply       More Jobs  

 



 
Top