post a job, job postings,job search, job vacancies, job search sites, job search websites,local job search, post a job, job postings,job search,  
Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni anapenda kuwatangaiia nafasi za ka’zi I
Watanzania wenye sifa kama ifuatavyo :-

Mtendaji Wa Mtaa III X 27

SIFA
Kuajiriwa mwenye Elimu ya Kidato cha (IV) au (VI) aliyehitimu Astashahada/
Cheti katika fani ya Utawala, Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamizi wa Fedha,
Maendeleo ya Jamii na Sayansi ya Sanaa kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa
Hombolo, Dodoma au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

KAZI NA MAJUKUMU
i) Katibu wa Kamati ya Mtaa;
ii) Mtendaji Mkuu wa Mtaa;
iii) Mratibu wa utekelezaji wa Sera na Sheria zinazotekelezwa na
Halmashauri katika Mtaa
iv) Mshauri wa Kamati ya Mtaa kuhusu Mipango ya Maendeleo katika
Mtaa;
v) Msimamizi wa Utekelezeji wa Sheria Ndogo pamoja na Sheria nyingine
zinazotumika katika Mtaa;
vi) Mshauri wa Kamati ya Mtaa kuhusu masuala ya Ulinzi na Usalama;
vii) Msimamizi wa utekelezaji wa mikakati mbalimbali inayohusu uondoaji
wa njaa na Umaskini katika Mtaa;
viii) Kusimamia ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri na kutunza
kumbukumbu za walipa kodi wote;
ix) Kuandaa na kutunza rejesta ya wakazi wote wa Mtaa; na
x) Atawajibika kwa Mtendaji wa Kata

NGAZI YA MSHAHARA ‘- TG5 B
Mtunza Kumbukumbu Msaidizi Daraja la II X 1
SIFA
Kuajiriwa mwenye elimu ya kidato cha nne (iv) au cha sita (vi) aliohudhuria
mafunzo ya utunzaji wa kumbukumbu na kupata cheti cha cha utunzaji
kumbukumbu katika mojawapo ya fani za Afya, Masjala, Mahakama na
Ardhi.
Kazi na majukumu
(i.) Kutafuta kumbukumbu / nyaraka/mafaili yanayohitajiwa na wasomaji
(ii). Kudhibiti upokea]i, uandikishaji wa kumbukumbu/ nyaraka
(iii). Kuchambu. kuorodhesha na kupanga kumbukumbu/nyaraka katika
makundi kulingana na somo husika (classification and boxing) kwa
ajili ya matumizi ya ofisi
(iv). Kuweka /kupanga kumbukumbu( barua nyarakan.k) katika reki (file
. recks)/cabinets katika masijala/vyumba vya kuhifadhia kumbukumbu
(v). Kuweka kukmukumbu (barua. nyaraka n.k) katika mafaili
(vi). kushughulikia maombi ya kumbukumbu/ nyaraka kutoka Taasisi za
Serikali
NGAZI VA MSHAHARA NI TGS B
Katibu Mahsusi Daraja La III X 5
SIFA:
Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha IV waliohudhuria Mafunzo ya Uhazili na
kufaulu mtihani wa Hatua ya Tatu. Wawe wamefaulu somo la Hatimkato ya
Kiswahili na Kiingereza maneno 80 kwa dakika moja na wawe wamepata
mafunzo ya Kompyuta kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali
na kupata cheti katika programu za Windows, Microsoft Office, Internet,
E-mail na Publisher.
KAZI NA MAJUKUMU.
Katibu Mahsusi Dar-aja la III atapagiwa kufanya kazi katika “Typing Pool” au
chini ya Katibu Mahsusi mwingine mwenye cheo cha juu kumzidi kwenye
ofisi ya Mkuu wa sehemu au kitengo.
i) Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida
ii) Kusaidia kupokea wageni na kuwasaili shida zao na kuwaelekeza
sehemu wanapoweza kushughulikiwa
iii) Kusaidia kutunza taarifa aukumbukumbu za matukio, miadi, wageni,
tarehe za vikao safari za Mkuu wake na ratiba ya kazi zingine
zilizopangwa kutekelezwa katika ofisi anamofanyia kazi, na kumuarifu
Mkuu wake kwa wakati unaohitajika.
iv) Kusaidia kutafuta na kumpatia Mkuu wake majalada, nyaraka au kitu
chochote kinachohitajika katika shughuli za kazi hapo ofisini.
v) Kusaidia kufikisha maelezo ya Mkuu wake wa kazi kwa wasaidizi
wake na pia kumuarifu kuhusu taarifa zozote anazokuwa amepewa
na wasaidizi hao.
vi) Kusaidia kupokea majalada, kuyagawa kwa Maofisa walio katika
sehemu alipo,na kuyakusanya, kuyatunza na kuyarudisha sehemu
zinazohusika.
vii) Kutekeleza kazi zozote atakazokuwa amepangiwa na Msimamizi wake
wa kazi.
NGAZI VA M5HAHARA – TG5. B

MASHARTI VA JUMLA:
Mwombaji lazima awe Raia wa Tanzania.
Awe amehitimu na Kupata Cheti cha Taaluma cha Kidato cha Nne (IV) au (VI) NB. Results Slip hazikubaliki
Awe na Cheti cha Kuzaliwa

Barua zote ziambatane na nyaraka zifuatazo;-
i) Nakala za Vyeti vya Mwombaji vilivyothibitishwa.
ii) Maelezo binafsi ya Mwombaji (Curriculum Vitae).
iii) Picha ndogo za rangi (Coloured Passport size) mbili (2) za Mwombaji
za hivi karibuni.
Kila mwombaji lazima awe na Umri kati ya miaka 18 – 45
Waombaji wenye Sifa Pungufu au zaidi na zilizotajwa hapo juu hawashauri kuomba.

Barua zote za maombi ziandikwe kwa rnkono, zikiwa na anwani kamili ya Mwombaji, pamoja na namba ya simu na zitumwe kwa anuani ifuatayo:-

MKURUGENZI WA MANISPAA
MANISPAA VA KINONOONI
S. L. P. 31902
2BARABARA YA MOROGORO,
14883 DAR ES SALAAM.
Source: Tanzania Jobs
   More Jobs 
 



 
Top